iqna

IQNA

Fawzia al-Ashmawi
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 8
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Fawzia al-Ashmawi alikuwa mwanazuoni ambaye alitumia maisha yake kueleza na kufafanua kuhusu hadhi ya wanawake katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30